MADHARA YA UPIGAJI PUNYETO

  MADHARA YA KUPIGA PUNYETO (KWA MUDA MREFU)

Najua wewe hujawahi kufanya, ila umewahi kusikia kuhusu neno hili (PUNYETO). 

Sijui umesikia katika mrengo gani hasa kati ya faida au hasara. Lakini hapa leo tutazungumzia madhara ya punyeto kwa mwenye kudumu kwa muda mrefu.

Mada yetu itasimama katika vipengele vitano ambavyo ni hivi:

1.    PUNYETO NINI?
2.    NJIA ZA PUNYETO
3.   VISABABISHI
4.   MADHARA
5.   TIBA

1. PUNYETO NI NINI?
Kwa kiswahili fasaha tunasema

Punyeto ni usuguaji wa tupu ya mbele kwa kutumia mkono au mashine ili kutoa manii kama njia ya kujiridhisha kimapenzi.

2. NJIA ZA PUNYETO
Japo asili au njia kuu ya punyeto ni mkono lakini kutokana na ubunifu wa binadamu katika kukidhi mahitaji yake ya kimwili, kumekuwa na aina kadhaa za punyeto.

Hizi ni pamoja na:-

        a.   MKONO

Hii ndio njia ambayo hutumiwa na watu wengi zaidi katika kukidhi haja za kimwili. Katika njia hutumia vilainishi kama vile mafuta, sabuni, mate na kadhalika.

Asilimia kubwa ya waliyowahi au wanashiriki mchezo huu hutumia njia hii kwa asilimia kubwa.

b.   MTO (PILLOW)

Hii hutumika zaidi pale ambapo mtu yupo kitandani hasa baada ya kuamka usingizini.

Mto hutumika kama mwanamke kwa kuuweka katikati ya mapaja na kuanza kuvuta hisia za mapenzi na hatimaye kufikia lengo.

 

        c.    KUUBANA UUME KATIKA MAPAJA

Hapa mtu huubana uume wake kwa kutumia mapaja na kipata joto hatimaye kufika kileleni. Hii mara nyingi hutumika pale ambapo mtu ana hisia nyingi kupita kiasi. Basi akibana tu mapaja hukojoa hapo hapo.

NB:

Mara nyingi ili kufanikisha zoezi la punyeto kwa haraka ni lazima kuwe na kuchochezi kama vile hisia, picha au video za ngono.

Unaweza kujiuliza ni kwanini mtu anafikia au anaamua kuingia katika kadhia hii ya kujichua?

Kwanini watu wanapiga punyeto? 

Kutokana na kikao ambacho tulikaa vijana watatu na kujadili suala hili tulikuja na majibu haya.

VISABABISHI VYA PUNYETO

Mara nyingi kila jambo huwa na sababu zake. Na hapa tutaona sababu ambazo humpelekea mtu kuingia punyetoni.

a) MAZINGIRA

Zuala la mazingira ni pana kwa namna yake. Na miongoni mwa mazingira ambayo yanaweza kumfanya mtu kutumbukia katika janga la punyeto ni watu ambao anaishi nao / aliishi nao.

Lakini pia mazingira yenye hanasa kama vile kukithiri kwa wanawake wanaovaa nusu uchi, kuishi nyumba za uswahilini ambazo miguno ya mahaba husikika kutoka kwa jirani na mengine mengi.


b) KUTAZAMA PICHA ZA NGONO

Kumekuwa na ongezeko kubwa
 la picha za ngono ulimenguni.
 Hii ni miongoni mwa sababu kubwa ambazo 
huwapelekea watu (hasa vijana) kujichua na 
kujimaliza wenyewe pindi wawapo faragha.


c) PEPO WACHAFU

Baadhi ya watu wametawaliwa ama kukumbwa na mashetani wachafu ambao huwapelekea katika tabia hizi chafu.



d) KUTORIDHISHWA NA WENZA WAO

Kutoridhika katika tendo la ndoa
 na mpenzi wako kunaweza kukupelekea katika 
tabia hii ya punyeto ili kukamilisha zoezi 
la kujiridhisha kikamilifu.

Hii inaweza kutokea kwa watu wote wanawake na wanaume.



e) Upweke

Upweke unaweza kutokana na vitu vingi kama vile kuachwa,  kukataliwa na mengineyo. 

Kijana anaweza kujikuta anaangukia katika upigaji wa puli / puchu / punyeto.

MADHARA YA PUNYETO
Ingawa kuna watu hudai kuwa punyeto haina madhara,
 lakini wanasayansi wamegundua baadhi
 ya matatizo ambayo hutokana na punyeto.

Mbali na wanasayansi pia baadhi
 ya watu ni mashuhuda juu ya madhara ya jambo hili.
 Lakini madhara haya ni kwa wale ambao 
wamedumu kwa muda mrefu zaidi ya mwaka mmoja.

i) UUME KUWA  LEGELEGE

Kwakuwa suala la punyeto huhusika zaidi na usuguaji wa mishipa ya uume, hivyo hupelekea michubuko katika na hatimaye uume kuwa legelege pindi unapo simama.

Hii hupelekea pia upungufu wa nguvu za kiume kwa baadhi ya watu au kupelekea pia kutokuweza kurudia tendo la ndoa.



ii) KUWAHI KUFIKA KILELENI

Hii ni kwasababu mtu aliezoea kujichua huwa anajikadiria mwenyewe hisia zake, hivyo anapokutana na mwanamke ni rahisi kumwaga manii kwasababu anashindwa kuji control.

Lakini pia joto analoloipata kwenye mkono wake ni tofauti na uke wa mwanamke hivyo anaweza kujikuta anawahi kufiika kileleni.



iii) KUKOSA NGUVU

Mbali na akili nyingi ambayo hutumika wakati
 wa kujichua kutokana na kitendo hiki 
kushirikisha zaidi ubongo, lakini pia 
misuli ya mwili nayo hutumika katika 
kuhakikisha zoezi linakamilika ipasavyo. 
Hii huchangia katika kupunguza 
nguvu za mwili.

Hasa kwa vijana wa kiume ambao
 wameathirika sana na punyeto wanakuwa 
dhaifu sana hasa maeneo ya viungo kama magoti, 
mikono na mwili kwa ujumla.

iv) KUTOJIAMINI

Hasa mbele ya wanawake. 
Mtu ambaye amezowea kujichua
 mara nyingi huwa hana kazi na wanawake 
kwani haja zake hujimaliza
 mwenyewe.

Kwa upande wa wanawake nao ni 
hivyo hivyo anaweza kutohitaji mwanaume
 au mwanaume ambaye hatomridhisha
 humdharau sana.

Miongoni mwa madhara ni pamoja na

v) Maumivu ya ngonga na viungo kwa ujumla.

vi) Uwezekano wa kupungua kwa mbegu za kiume na uwezekano wa kupata mtoto.

TIBA YA KUACHA PUNYETO 
Utakubaliana nami kuwa kila ugonjwa una tiba,
 kwa kua na punyeto ni ugonjwa basi hapa nitakupa
 tiba zake na kama upo tayari utafanikiwa kabisa kuacha punyeto.

1. Kuwa tayari

Kitu cha kwanza na muhimu na ambacho ni kigumu kidogo ni kuwa tayari katika akili yako kuwa unaachana na punyeto. 

Tambua madhara yake kutoka moyoni mwako kwanza ndipo utafanikiwa kuachana na janga hili.



2. Wacha kuangalia ngono

Kwakuwa ngono ndio kichocheo
 kikubwa cha punyeto unatakiwa kuacha kabisa
 kuangalia kwani mwisho wa siku utarudi
 kule kule na tatizo litaendelea.

Sambamba na hayo pia fanya mambo haya ili kuacha punyeto

3. Kuwa na mpenzi / mke

4. Fanya mazoezi

5. Kula matunda na mboga mboga

6. Pata muda wa kupumzika

7. Epuka kukaa peke yako mda mrefu

  • NENO LA MWISHO


Wapo ambao wanadai kuwa punyeto 
haina madhara, huenda ni kwa upande
 wao au kutaka kuficha aibu zao. 
Ila kiukweli kabisa kama utadumu kwa muda 
mrefu ni lazima ukutane na moja au baadhi
 ya madhara ambayo tumeyataja.

Lakini pia katika dini  yetu ya ki Kristo
 suala hili limekatazwa na ni haramu kabisa.
 Hivyo kama hauhofii madhara 
basi muogope Mungu.

Kwa ushauli na TIBA, Wasiliana nami kwa njia ya WhatsApp/Call
👇👇

📞+255745125063 

Asante kwa kuwa nasi🙏

Comments